forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
670 B
Markdown
24 lines
670 B
Markdown
|
# Bwana wangu anajua
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upole na maalumu ya kumhusu Esau. "Wewe, bwana wangu, unajua"
|
||
|
|
||
|
# watoto ni wadogo
|
||
|
|
||
|
Maana inaweza kuwekwa wazi zaidi. "watoto ni wadogo sana kusafiri haraka"
|
||
|
|
||
|
# Ikiwa watapelekwa kwa haraka hata siku moj
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "tukiwalazimisha kwenda haraka sana hata kwa siku moja"
|
||
|
|
||
|
# Tafadhari bwana wangu na amtangulie mtumishi wake
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upole na maalumu ya Yakobo kujitaja mwenyewe. "Bwana wangu, mimi ni mtumishi wako. Tafadhali nenda mbele yangu"
|
||
|
|
||
|
# kwa kadili ya mifugo iliyo mbele yangu
|
||
|
|
||
|
"kwa kasi ya wanyama naowatunza wanaweza kwenda"
|
||
|
|
||
|
# Seiri
|
||
|
|
||
|
Hili ni eneo lenye milima katika eneo la Edomu.
|