forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
715 B
Markdown
24 lines
715 B
Markdown
|
# akawa mwindaji hodari
|
||
|
|
||
|
"akawa hodari katika uwindaji na kuua wanyama kwa chakula"
|
||
|
|
||
|
# mtu mkimya
|
||
|
|
||
|
"mtu wa amani" au"mtu asiyekuwa na mambo mengi"
|
||
|
|
||
|
# aliye tumia muda wake akiwa katika mahema
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia kuhusu muda kana kwamba ilikuwa bidhaa ambayo mtu angetumia. "aliyebaki katika mahema sehemu kubwa ya muda"
|
||
|
|
||
|
# Kisha
|
||
|
|
||
|
Neno hili linatumika kuweka alama ya kubadili mwelekeo, kutoka katika simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Isaka na Rebeka.
|
||
|
|
||
|
# Isaka akampenda
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "akampenda" ina maana "alimpendelea" au "kumpenda zaidi"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu alikula wanyama ambao alikuwa anawinda
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu alikula wanyama ambao Esau aliwinda" au "kwa sababu alifurahia kula wanyama pori ambao Esau alikamata"
|