forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
629 B
Markdown
20 lines
629 B
Markdown
|
# alikuwa tasa
|
||
|
|
||
|
"hakuwa na uwezo wa kupata mimba"
|
||
|
|
||
|
# Rebeka mkewe akabeba mimba
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba Rebeka alikuwa mimba na watoto wawili katika wakati mmoja. "Rebeka, mke wake, akawa mimba na mapacha"
|
||
|
|
||
|
# Watoto hawa walipokuwa tumboni mwake wakasumbuka,
|
||
|
|
||
|
"watoto ndani mwake wakaendelea kugusana baina yao" au "Watoto walisukumana dhidi yao wenyewe ndani mwake"
|
||
|
|
||
|
# Watoto ... tumboni mwake
|
||
|
|
||
|
Rebeka alikuwa mimba na mapacha.
|
||
|
|
||
|
# Akaenda kumuuliza Yahwe kuhusu jambo hili
|
||
|
|
||
|
"Alienda kumuuliza Yahwe kuhusu suala hili". haipo wazi alienda wapi. Inawezekana alienda sehemu ya siri kuomba, au alienda sehemu kutoa sadaka.
|