forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
551 B
Markdown
24 lines
551 B
Markdown
|
# Akamwambia
|
||
|
|
||
|
"rebeka alisema" au "msichan yule alisema"
|
||
|
|
||
|
# kwake
|
||
|
|
||
|
"kwa mtumishi"
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, ambaye alimzaa kwa Nahori
|
||
|
|
||
|
"Bethueli ni baba yangu, na wazazi wake ni Milka na Nahori"
|
||
|
|
||
|
# Tunayo malisho tele na chakula
|
||
|
|
||
|
Inaeleweka ya kwamba malisho na chakula yalikuwa kwa ajili ya ngamia. "Tuna malisho na chakula cha kutosha kwa ajili ya ngamia"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yako kulala usiku
|
||
|
|
||
|
"kwa ajili yako kulala usiku" au "ambapo utalala kwa usiku huu"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yako
|
||
|
|
||
|
Hapa "yako" ina maana ya mtumishi na wale aliosafiri naye"
|