forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
519 B
Markdown
20 lines
519 B
Markdown
|
# akainuka na kutoka kwa mkewe aliye kufa
|
||
|
|
||
|
"akasimama na kuacha mwili wa mke wake"
|
||
|
|
||
|
# watoto wa kiume wa Hethi
|
||
|
|
||
|
Hapa "watoto" ina maana ya wale waliotokana na Hethi. "uzao wa Hethi" au "Wahiti"
|
||
|
|
||
|
# miongoni mwenu
|
||
|
|
||
|
Wazo hili linaweza kuelezwa kwa lugha ya eneo. "katika nchi yako" au "hapa"
|
||
|
|
||
|
# Tafadhari nipatieni mahali
|
||
|
|
||
|
"Niuzie sehemu ya nchi" au "Niruhusu kununua kipande cha nchi"
|
||
|
|
||
|
# wafu wangu
|
||
|
|
||
|
Kivumishi kidogo "wafu" kinaweza kuelezwa kama kivumishi au kitenzi. "mke wangu aliyekufa" au "mke wangu ambaye amekufa"
|