forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
987 B
Markdown
32 lines
987 B
Markdown
|
# Hawa wafalme watano wa mwisho waliungana pamoja
|
||
|
|
||
|
Taarifa ya kwamba majeshi yao walikuwa pamoja nao inaweza kuwekwa wazi. "Wafalme hawa watano wa nyuma na majeshi yao waliungana"
|
||
|
|
||
|
# miaka kumi na mbili walimtumikia
|
||
|
|
||
|
Matukio katika mistari ya 4-7 yalitokea kabla ya mstari wa 3. Lugha yakoinaweza kuwa na namna ya kuonyesha hivi.
|
||
|
|
||
|
# walimtumikia Kedorlaoma
|
||
|
|
||
|
Inawezekana walitakiwa kumlipa kodi na kumtumikia jeshini. "walikuwa chini ya utawala wa Kedorlaoma"
|
||
|
|
||
|
# waliasi
|
||
|
|
||
|
"walikataa kumtumikia" au "walisitisha kumtumika"
|
||
|
|
||
|
# walikuja na kuwashambulia
|
||
|
|
||
|
Walifanya hivi kwa sababu wafalme wengine waliasi.
|
||
|
|
||
|
# Warefai ... Wazuzi ... Waemi ... Wahori
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya makundi ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Ashteroth Karnaimu ... Hamu ... Shawe Kiriathaimu ... Seiri ...El Parani
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya sehemu.
|
||
|
|
||
|
# El Parani iliyo karibu na jangwa
|
||
|
|
||
|
Huu msemo unasaidia wasomaji kuelewa El parani ilikuwa wapi. Inaweza kutafsiriwa katika sentensi tofauti kama italazimu. "El Parani. El Parani ipo karibu na jangwa"
|