forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
838 B
Markdown
28 lines
838 B
Markdown
|
# Ikawa kwamba
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatumika kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. Kama lugha yakoin njia ya kufanya hivi, basi tumia njia hii.
|
||
|
|
||
|
# baada ya muda
|
||
|
|
||
|
Maana yake yaweza kuwa 1) "baada ya muda kupita" au 2) "kwa muda sahihi"
|
||
|
|
||
|
# mazao ya ardhi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha chakula kilichotoka kwa mimea aliyoitunza."mazao" au "mavuno"
|
||
|
|
||
|
# sehemu zilizonona
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha sehemu zilizonona za kondoo alizoua, ilikuwa ni sehemu bora zaidi ya mnyama. "baadhi ya sehemu zao zilizonona"
|
||
|
|
||
|
# akamkubali
|
||
|
|
||
|
"alipendezwa naye" au "alifurahishwa naye"
|
||
|
|
||
|
# alikasirika sana
|
||
|
|
||
|
Baadhi la lugha zina lahaja kwa neno hasira kama "aliwaka" au "hasira yake iliwaka".
|
||
|
|
||
|
# ukakunjamana
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana muonekano wa uso wake ulionyesha ya kuwa alikuwa amekasirika au ana wivu. Baadhi ya lugha zina lugha ambayo inaelezea sura inavyoonekana anapokuwa na hasira.
|