forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
698 B
Markdown
20 lines
698 B
Markdown
|
# Na kuwe na nuru
|
||
|
|
||
|
Hii ni amri. Kwa kuamuru kuwepo na nuru, Mungu alifanya iwepo.
|
||
|
|
||
|
# Mungu akaona nuru, kuwa ni njema
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliifikiria nuru na kufurahishwa nayo." Hapa "Njema" inamaanisha "kufurahisha" au "inayofaa."
|
||
|
|
||
|
# akaigawa nuru na giza
|
||
|
|
||
|
"alitenganisha nuru na giza" au "alifanya kuwepo na nuru wakati mmoja na giza wakati mwingine." Hii inamaanisha Mungu aliumba wakati wa mchana na usiku.
|
||
|
|
||
|
# Ikawa jioni na asubuhi, siku ya kwanza
|
||
|
|
||
|
Mungu alifanya vitu hivi katika siku ya kwanza ambapo ulimwengu ulianza kuwepo.
|
||
|
|
||
|
# jioni na asubuhi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha siku nzima. Mwandishi anazungumzia siku nzima kana kwamba ni sehemu mbili. Kwa tamaduni za Kiyahudi, siku moja huanza baada ya jua kuzama.
|