forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
403 B
Markdown
24 lines
403 B
Markdown
|
# Tusichoke katika kutenda mema
|
||
|
|
||
|
"Tunatakiwa kuendelea kutenda mema"
|
||
|
|
||
|
# kutenda mema
|
||
|
|
||
|
kufanya mema kwa ustawi wa watu wengine
|
||
|
|
||
|
# wakati wake
|
||
|
|
||
|
"kwa wakati muafaka" au " kwa wakati ambao Mungu ameuchagua"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo basi,
|
||
|
|
||
|
"kama matoke ya" au "kwasababu ya "
|
||
|
|
||
|
# hasa kwa walio
|
||
|
|
||
|
"hasa kwa wale" au "mahususi kwa wale"
|
||
|
|
||
|
# walio ndani ya imani
|
||
|
|
||
|
"kwa wale walio wana familia ya Mungu kupitia imani katika Yesu"
|