forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
811 B
Markdown
32 lines
811 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anatoa sababu yake ya kuandika barua hii-anawakumbusha kuendelea kuielewa injili.
|
||
|
|
||
|
# Ninashangaa
|
||
|
|
||
|
"Ninashangazwa" au "Nimeshitushwa." Paulo alisikitishwa na mambo haya waliyokuwa wanayafanya.
|
||
|
|
||
|
# kwamba mmegeuka haraka sana kutoka kwake... na kwenda kwenye injili nyingine
|
||
|
|
||
|
Maana nyingine zaweza kuwa ni 1) " Mmeacha kwa haraka sana kumtumaini Yeye au 2) "mmeacha kwa haraka sana kuwa waaminifu kwake."
|
||
|
|
||
|
# Yeye aliyewaita
|
||
|
|
||
|
"Mungu, aliyewaita ninyi"
|
||
|
|
||
|
# kuitwa
|
||
|
|
||
|
Hapa inamanisha Mungu amewateua or kuwachagua watu kuwa watoto wake, kumtumikia na kuutangaza wa ujumbe wa wokovu kupitia kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# kwa neema ya Kristo
|
||
|
|
||
|
" kwa sababu ya neema ya Krsto" au "kwa sababu ya dhabihu ya neema ya Kristo"
|
||
|
|
||
|
# Mnageukia injili nyingine
|
||
|
|
||
|
Mnaamini injili nyingine
|
||
|
|
||
|
# watu
|
||
|
|
||
|
watu wote au binadamu
|