forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
392 B
Markdown
12 lines
392 B
Markdown
|
# Ndipo nikasema kwao
|
||
|
|
||
|
"Ndipo nikawaambia maofisa kumi na mbili wa kikuhani"
|
||
|
|
||
|
# ndipo mtakapovipima mbele ya makuhani,walawi na viongozi
|
||
|
|
||
|
Walipofika Yerusalem , walipima fedha, dhahabu na vyombo ili kuonyesha kwamba hawakuchukua chochote kwa ajili yao binafsi.
|
||
|
|
||
|
# Makuhani na Walawi
|
||
|
|
||
|
Kulingana na sheria ya Musa, kabila la Levi walikuwa na kazi ya kutunza hekalu, mali zake pamoja na sadaka.
|