forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
870 B
Markdown
20 lines
870 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Hii inaendelea na kumbukumbu ya mfalme Koreshi agizo kwa wayahudi kujenga hekalu la Mungu katika Yerusalem, ambalo lilianza katika 6:3
|
||
|
|
||
|
# nguzo lazima itolewe katika nyumba yake na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa katika takataka.
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Niliagiza maofisa wangu kutolewa vyuma katika nyumba na iwekwe juu yake. Na baadaye itabadilishwa nyumba kuwa katika takataka"
|
||
|
|
||
|
# nguzo
|
||
|
|
||
|
kipande kirefu cha mbao, kinachosaidia paa la nyumba
|
||
|
|
||
|
# ambaye amenyosha mkono kubadilisha... au kuharibu
|
||
|
|
||
|
Kunyoosha mkono inamaanisha kujaribu kufanya kitu fulani. AT:"ambaye anajaribu kubadilisha... au kuharibu"anayetaka kubadili au kuharibu"
|
||
|
|
||
|
# kubadilisha hili agizo
|
||
|
|
||
|
neno "agizo" linaweza kuelezwa hivi "kitu gani nilichoagiza" AT:"kubadili kitu nilichoagiza" au "kusema kwamba nimeagiza kitu kingine kabisa"
|