forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
485 B
Markdown
12 lines
485 B
Markdown
|
# siku ya kwanza ya mwezi wa saba
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa saba kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza ilikaribia katikati ya mwezi wa tisa kwa kalenda ya watu wa magharibi.
|
||
|
|
||
|
# hekalu lilikuwa bado halijapatikana
|
||
|
|
||
|
Wayahudi walianza kusherehekea kwa ibada hata kabla hawajaanza kujenga hekalu. AT:"walikuwa bado hawajaanza msingi kwa ajili ya hekalu"
|
||
|
|
||
|
# kama walivyoamriwa wao kwa Koreshi mfalme wa Uajemi
|
||
|
|
||
|
Barua ilitumwa na Koreshi kuwapa wayahudi ruhusa ya kununua vifaa na kujenga hekalu.
|