forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.3 KiB
Markdown
36 lines
1.3 KiB
Markdown
|
# mwaka wa kwanza
|
||
|
|
||
|
inarejea mwaka wa kwanza wa kutawala mfalme Koreshi
|
||
|
|
||
|
# Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika agano la kale. Angalia neno la tafsiri kwenye ukurasa unaouhusu Yahwe kuhusiana na jinsi ya kutafsiri.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe akatimiza neno lake
|
||
|
|
||
|
"Yahwe akafanya kile alichokisema kuwa atakifanya"
|
||
|
|
||
|
# ambalo lilikuja kwa kusemwa na Yeremia
|
||
|
|
||
|
Ambacho Yeremia alikiandika au kukiongea kuhusu.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe..... kuinua roho ya Koreshi
|
||
|
|
||
|
Kuinua roho ni msemo wa kumfanya mtu atake kutenda "Yahwe .....akamfanya Koreshi atake kutenda"
|
||
|
|
||
|
# Sauti ya Koreshi ikasambaa kote kwenye ufalme wake
|
||
|
|
||
|
Sauti ni aina msemo wa ujumbe sauti inaongea, na ufalme ni msemo kwa watu ambao mfalme anawaongoza. AT: "Koreshi akatuma ujumbe kwa kila mmoja ambao anawaongoza"
|
||
|
|
||
|
# Kitu gani kiliandikwa na kuongelewa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai. Itakuwa vizuri kutafsiri ili kwamba wasomaji waelewe kwamba watu wengine walimsaidia Koreshi kupata ujumbe kwa watu ambao anawaongoza. AT:"Kile alichokiandika Koreshi na kile wajumbe wake walikisoma ili watu waweze kuwasikia wao"
|
||
|
|
||
|
# Ufalme wote wa dunia
|
||
|
|
||
|
Hii ni kukiuka, kana kwamba kulikuwa na ufalme ambao Koreshi alikuwa hauongozi
|
||
|
|
||
|
# kwa yeye nyumba katika..... Yuda
|
||
|
|
||
|
Ungependa kufanya........... kwamba nyumba ilikuwa kwa ajili ya watu kumwabudu Yahwe. AT:"nyumba katika....... Yuda ambapo watu wanaweza kumwabudu yeye"
|