forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
439 B
Markdown
20 lines
439 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# ni watumishi katika patakatifu pangu
|
||
|
|
||
|
"watakuwa watumishi katika hekalu langu"
|
||
|
|
||
|
# kutazama malango ya nyumba
|
||
|
|
||
|
"kufanya kazi ya ulinzi kwenye malango ya nyumba"
|
||
|
|
||
|
# watasimama mbele ya watu na kuwaokoa
|
||
|
|
||
|
"hawa Walawi watasimama mbele ya watu, ili kwamba waweze kuwaokoa watu"
|
||
|
|
||
|
# nitainua mkono wangu kuapa kiapo
|
||
|
|
||
|
"nimeinua mkono wangu kuapa kiapo"
|