forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
372 B
Markdown
16 lines
372 B
Markdown
|
# mizoga ya wafalme wao
|
||
|
|
||
|
Hapa "mizoga" inarejea kwa sanamu ambazo watu wa wafalme waliziabudu. Sanamu zinaitwa mizoga kwa sababu zimekufa haziko hai.
|
||
|
|
||
|
# Wameasi
|
||
|
|
||
|
"Nyumba ya Israeli imeasi"
|
||
|
|
||
|
# matendo ya machukizo
|
||
|
|
||
|
Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:9.
|
||
|
|
||
|
# nimewala kwa hasira yangu
|
||
|
|
||
|
Hili neno linamaanisha "nimewaangamiza kabisa kwa sababu nilikuwa na hasira."
|