forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
545 B
Markdown
12 lines
545 B
Markdown
|
# Kulikuwa na milango miwili kwa ajili ya mahali patakatifu na mahali patakatifu sana
|
||
|
|
||
|
"mahali patakatifu na patakatifu sana kote kulikuwa na milango miwili"
|
||
|
|
||
|
# Hii milango ilikuwa na bawaba mbili zilizokuwa zimeshikilia paneli za mlango yote
|
||
|
|
||
|
"Kila mlango ulikuwa na sehemu mbili katika bawaba." Bawaba inaunganisha milango kwenye ukuta na kuruhusu milango kubembea.
|
||
|
|
||
|
# paneli mbili kwa ajili ya mlango mmoja na paneli mbili kwa ajili ya mwingine
|
||
|
|
||
|
"milango yote kwa sehemu zote mahali patakatifu na mahali pa juu sana palikuwa na sehemu mbili"
|