forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
635 B
Markdown
36 lines
635 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yako
|
||
|
|
||
|
"kwa ajili yako"
|
||
|
|
||
|
# hili ndilo tangazo la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
||
|
|
||
|
# ijulikane kwenu
|
||
|
|
||
|
"unaweza kuwa na uhakika na hili"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo tahayarikeni na kufadhaika
|
||
|
|
||
|
Maneno "tahayarika" na "kufadhaika" yana maana moja. Yote yanasisitiza mkazo wa tahayari.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya njia zako
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ya kile ufanyacho"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1.
|
||
|
|
||
|
# mtailima nchi iliyoharibiwa
|
||
|
|
||
|
"mtailima nchi iliyoharibiwa"
|
||
|
|
||
|
# mbele za macho ya wote wapitao karib
|
||
|
|
||
|
"na wasafiri wote katika nchi wataiona"
|