forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
574 B
Markdown
24 lines
574 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# mtachipuza matawi na kuzaa matunda
|
||
|
|
||
|
"miti yenu itachipuza matawi na kuzaa matunda."
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata."
|
||
|
|
||
|
# nipo kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
"nataka kufanya mambo mazuri kwenu" Neno "ninyi" linarejea kwa milima ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# na ninawatenda kwa fadhili
|
||
|
|
||
|
"nitakuwa mkarimu kwenu" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# mtalimwa na kupandwa mbegu
|
||
|
|
||
|
"Watu wangu, watalima aridhi yako na kuipanda mbegu." Kulima inamaanisha kukata matuta katika aridhi ili kupanda mbegu katika hiyo.
|