forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
442 B
Markdown
24 lines
442 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# damu yake i juu yake
|
||
|
|
||
|
"itakuwa ni kosa lake mwenyewe kwamba amekufa"
|
||
|
|
||
|
# okoa maisha yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"atajiokoa mwenyewe kutoka kifo"
|
||
|
|
||
|
# upanga kama ujavyo
|
||
|
|
||
|
Neno "upanga" inarejea kwa adui wa jeshi.
|
||
|
|
||
|
# upanga ujao na kuchukua uhai wa mtu
|
||
|
|
||
|
"upanga ujao kumuua yeyote"
|
||
|
|
||
|
# mtu akafa kwenye dhambi yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"mtu atakufa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe"
|