forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
381 B
Markdown
24 lines
381 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kunena.
|
||
|
|
||
|
# utaangamizwa
|
||
|
|
||
|
"nitakuangamiza."
|
||
|
|
||
|
# kati yao wasiotahiriwa
|
||
|
|
||
|
"karibu na watu wasiotahiriwa"
|
||
|
|
||
|
# wale waliouawa kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:24.
|
||
|
|
||
|
# Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote
|
||
|
|
||
|
"Edomu yupo katika Sheoli pamoja na wafalme na viongozi wake wote."
|
||
|
|
||
|
# Walikuwa na nguvu
|
||
|
|
||
|
"Walikuwa na nguvu nyingi"
|