forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
798 B
Markdown
28 lines
798 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kunena na Farao na kumfananisha na jitu la kutisha liishilo katika maji.
|
||
|
|
||
|
# Bwana Yahwe asema hivi
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:5.
|
||
|
|
||
|
# Basi nitautandaza wavu wangu juu yako katika kusanyiko la watu wengi
|
||
|
|
||
|
"Basi nitawakusanya watu wengi na kutupa wavu wangu juu yako."
|
||
|
|
||
|
# watawainua juu katika wavu wangu
|
||
|
|
||
|
"kutumia wavu wangu, watu watakuvuta kutokakwenye maji"
|
||
|
|
||
|
# Nitakuacha katika nchi
|
||
|
|
||
|
"Nitakuacha bila msaada katika nchi." Jitu la kutisha lililokuwa linatisha wakati lilipokuwa ndani ya maji haliwezi kufanya chochote wakati likiachwa juu ya nchi kavu.
|
||
|
|
||
|
# ndege wote wa angani
|
||
|
|
||
|
"ndege wote warukao katika anga"
|
||
|
|
||
|
# njaa ya wanyama wote waishio juu ya nchi watashibishwa na wewe
|
||
|
|
||
|
"nitawaacha wanyama wote wa nchi wataula mwili wako hadi njaa iwaishe"
|