forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
633 B
Markdown
24 lines
633 B
Markdown
|
# pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"pamoja na chuki yote uliyoijaza mbele ya watu wanaoishi katika Israeli"
|
||
|
|
||
|
# tazama!
|
||
|
|
||
|
"tazama!" au "sikiliza!"
|
||
|
|
||
|
# nitakunyooshea mkono wangu
|
||
|
|
||
|
"nitakupiga kwa mkono wangu wenye nguvu" au nitakuadhibu"
|
||
|
|
||
|
# na kukutoa kama mateka kwa mataifa
|
||
|
|
||
|
"na nitayafanya mataifa kuja na kuchukua kila kitu mbali nanyi"
|
||
|
|
||
|
# nitakukatilia mbali kutoka watu ... kukufanya adhabu miongoni mwa mataifa.
|
||
|
|
||
|
Haya maneno kimsingi yanamaanisha jambo moja na kusisitiza Yahwe atawaangamiza kabisa watu wa Amoni ili kwamba wasiwe taifa tena.
|
||
|
|
||
|
# utajua yakwamba mimi ni Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 6:6.
|