# pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli "pamoja na chuki yote uliyoijaza mbele ya watu wanaoishi katika Israeli" # tazama! "tazama!" au "sikiliza!" # nitakunyooshea mkono wangu "nitakupiga kwa mkono wangu wenye nguvu" au nitakuadhibu" # na kukutoa kama mateka kwa mataifa "na nitayafanya mataifa kuja na kuchukua kila kitu mbali nanyi" # nitakukatilia mbali kutoka watu ... kukufanya adhabu miongoni mwa mataifa. Haya maneno kimsingi yanamaanisha jambo moja na kusisitiza Yahwe atawaangamiza kabisa watu wa Amoni ili kwamba wasiwe taifa tena. # utajua yakwamba mimi ni Yahwe Tazama tafsiri yake katika 6:6.