sw_tn/ezk/24/19.md

16 lines
301 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Watu wa Israeli wanamuuliza Ezekieli na Ezekieli anawaambia Yahwe alichowaambia.
# Neno la Yahwe likaja
"Yahwe akanena neno lake."
# kiburi cha nguvu zako
"kiburi katika kujenga kile ulicho kitengeneza"
# tamaa ya macho yakow
"kutengeneza kile ulichokufurahisha kukitazama"