forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
377 B
Markdown
20 lines
377 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Msitembee kama wazazi wenu
|
||
|
|
||
|
"Msifanye mambo ambayo wazazi wenu waliyawaamuru kuyafanya"
|
||
|
|
||
|
# msitunze maagizo yao
|
||
|
|
||
|
"msizitii kanuni zao"
|
||
|
|
||
|
# tunza maagizo yangu na yatii!
|
||
|
|
||
|
"Kutunza" maagizo ya Yahwe ni sawa na "kuyatii."
|
||
|
|
||
|
# mtajua yakwamba mimi ni Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 6:6.
|