forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
796 B
Markdown
44 lines
796 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ezekieli anasimulia ujumbe ambao aliopewa na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Neno la Yahwe likaja
|
||
|
|
||
|
"Yahwe akanena neno lake."
|
||
|
|
||
|
# Mwanadamu
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejea Ezekieli. Hili neno ni mwanzo wa maneno ya Yahwe aliyoyanena kwa Ezekieli.
|
||
|
|
||
|
# tega kitendawili na sema fumbo
|
||
|
|
||
|
"toa fumbo kwao kufikiria"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 3:1.
|
||
|
|
||
|
# Tai mkubwa
|
||
|
|
||
|
"tai mkubwa sana"
|
||
|
|
||
|
# vipapatio vya kuku, mwenye kujaa manyoya
|
||
|
|
||
|
Neno "kipapatio" linamaanisha mwisho wa nje ya mabawa. "mwishoni mwa mabawa yake kulijawa na mabawa na manyota."
|
||
|
|
||
|
# kulikuwa na rangi nyingi
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejea tai.
|
||
|
|
||
|
# Akakata ncha za matawi
|
||
|
|
||
|
"Akavunja sehemu ndefu sana ya miti"
|
||
|
|
||
|
# kuyachukua
|
||
|
|
||
|
"kuchukua sehemu ya juu ya mti" au "chukua matawi"
|
||
|
|
||
|
# akaipanda katika mji wa wafanya biashara
|
||
|
|
||
|
Mfanya biashara ni mtu anayeuza vitu.
|