forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
699 B
Markdown
28 lines
699 B
Markdown
|
# upepo wa dhoruba ... mafuriko ya mvua ... Mvua ya mawe
|
||
|
|
||
|
Hizi sehemu zote ni dhoruba mbaya sana. Mungu anatumia dhoruba kurejea majeshi yatakayoiteka Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Nitaleta upepo wa dhoruba katika ghadhabu yangu
|
||
|
|
||
|
"wakati nitendapo ghadhabu yangu nitaleta upepo wa dhoruba"
|
||
|
|
||
|
# kutakuwa na mafuriko ya mvua kwenye ghadhabu yangu
|
||
|
|
||
|
"wakati nitendapo hasira yangu nitaleta kiasi kikubwa cha mvua"
|
||
|
|
||
|
# Mvua ya mawe katika ghadhabu yangu itauharibu kabisa
|
||
|
|
||
|
"Wakati nitendapo juu ya hasira yangu nitaleta mvua ya mawe kuharibu kuta wanaoujenga watu"
|
||
|
|
||
|
# kufunua
|
||
|
|
||
|
"isiyofunikwa"
|
||
|
|
||
|
# mtaangamizwa
|
||
|
|
||
|
"kuangamizwa kabisa"
|
||
|
|
||
|
# kujuwa kwamba mimi ndimi Yahwe
|
||
|
|
||
|
"kutambua kwamba mimi ndimi Yahwe, yule Mungu wa kweli"
|