forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
463 B
Markdown
20 lines
463 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Huu mji hautakua sufuria yenu ya kupikia, wala hamtakuwa nyama ndani yake
|
||
|
|
||
|
Watu wanajizungumzia wenyewe kana kwamba walikuwa wakataji wa nyama wazuri na mji kana kwamba ulikuwa sufuria ambalo lilihifadhi nyama.
|
||
|
|
||
|
# kati ya mipaka
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha matumizi ya mipaka kuwakilisha Israeli.
|
||
|
|
||
|
# mipaka
|
||
|
|
||
|
ukingo wa nje ya nchi au eneo
|
||
|
|
||
|
# mtajua ya kwamba mimi ni Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama katika 6:6
|