forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
550 B
Markdown
28 lines
550 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# miji itaharibiwa
|
||
|
|
||
|
"Wanajeshi maadui wataiharibu miji yenu"
|
||
|
|
||
|
# zitavunjwa
|
||
|
|
||
|
"madhabahu zenu zitavunjwa" au "wanajeshi maadui watazivunja."
|
||
|
|
||
|
# nguzo zenu zitaangushwa chini
|
||
|
|
||
|
"wataziangusha nguzo zenu."
|
||
|
|
||
|
# kazi zenu zitafutiliwa mbali
|
||
|
|
||
|
"hakuna atakayekumbuka ulichokifanya"
|
||
|
|
||
|
# Maiti zitaanguka chini kati yenu
|
||
|
|
||
|
"Umuona adui akiwaua watu waengi"
|
||
|
|
||
|
# jua kwamba mimi ndiye Yahwe
|
||
|
|
||
|
Maana ziwezekanazo ni 1) "tambua mimi, Yahwe, ni nani" au 2) "tambua kwamba mimi ni Yahwe, Mungu wa kweli."
|