forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
350 B
Markdown
16 lines
350 B
Markdown
|
# wachukulie kwenye moyo wako na wasikilize kwa masikio yako
|
||
|
|
||
|
"wakumbuke na wasikilize kwa makini"
|
||
|
|
||
|
# Kisha nenda kwa mateka
|
||
|
|
||
|
Neno "mateka" inarejelea kwa watu wa Israeli waliokuwa wakiishi katika Babebli.
|
||
|
|
||
|
# watu wako
|
||
|
|
||
|
"kundi la watu wako." Ezekieli aliishi katika Yuda kabla Wababeli kumchukua kwenda Babeli.
|
||
|
|
||
|
# Bwana Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la Mungu.
|