forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
444 B
Markdown
16 lines
444 B
Markdown
|
# wameasi
|
||
|
|
||
|
"walikuwa wanatenda kinyama" au "hawakuwa wanajizuia"
|
||
|
|
||
|
# Ndipo Musa akasimama katika mlango ... "Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh na aje kwangu."
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
|
||
|
|
||
|
# Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kwa mwaminifu kwa Yahweh kama kuwa upande wa Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# akapite huko na huko toka mlango hata mlango
|
||
|
|
||
|
"nenda ndani na nje kutoka mlango mmoja wa kambi kwenda mwingine"
|