forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
731 B
Markdown
36 lines
731 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa ajili ya watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kama mwizi akikutwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# anavunja ndani
|
||
|
|
||
|
"akitumia nguvu kuingia ndani ya nyumba"
|
||
|
|
||
|
# kama akipigwa na kufa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# hakutakuwa na hatia ya mauaji hayatakuwa juu ya mtu yeyote
|
||
|
|
||
|
"hakuna atakaye kuwa na hatia ya kumuua"
|
||
|
|
||
|
# kama jua limechomoza kabla ya yeye kuvunja ndani
|
||
|
|
||
|
"kama kuna mwanga kabla hajaingia"
|
||
|
|
||
|
# hatia ya mauaji itakuwa juu ya aliyemuua.
|
||
|
|
||
|
"huyo mtu atakaye muua akatakuwa na hatia ya mauaji"
|
||
|
|
||
|
# lazima auzwe kwa uwizi wake
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# Kama mnyama amekutwa hai eneo lake
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|