forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
354 B
Markdown
12 lines
354 B
Markdown
|
# Ni nini unachofanya na watu?
|
||
|
|
||
|
Yethro anatumia hili swali kumuonyesha Musa kwamba alicho kuwa anafanya si sawa?
|
||
|
|
||
|
# Kwanini unaketi peke yako ... asubui hadi jioni?
|
||
|
|
||
|
Yethro anatumia swali kumuonyesha Musa alikuwa anafanya sana.
|
||
|
|
||
|
# unaketi peke yako
|
||
|
|
||
|
Neno "keti" hapa ni mbadala wa "hukumu" Waamuzi walikuwa wana keti wanapo sikiliza malalamishi ya watu.
|