forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
434 B
Markdown
16 lines
434 B
Markdown
|
# nyikani ya Sinu
|
||
|
|
||
|
Neno "Sinu" hapa ni jina la Kiebrania la nyikani. Sio neno la kiengereza lenye maana ya "dhambi"
|
||
|
|
||
|
# Refidimu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya "sehemu ya kupumzika" sehemu ya kupumzika katika safari ndefu nyikani.
|
||
|
|
||
|
# Kwanini mnagombana na mimi? Kwanini mnajaribu Yahweh?
|
||
|
|
||
|
Musa anatumia haya maneno kukemea watu.
|
||
|
|
||
|
# Ili utuue sisi na watoto wetu na mifugo yetu kwa kiu?
|
||
|
|
||
|
Watu wanatumia hili swali kumshitaki Musa kwa kutaka kuwaua.
|