forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
390 B
Markdown
16 lines
390 B
Markdown
|
# wakamlalamikia Musa na kusema
|
||
|
|
||
|
"hawakufurahi na kumwambia Musa" au "kwa hasira wa kamwambia Musa"
|
||
|
|
||
|
# sauti ya Yahweh Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Yahweh anazungumza kuhusu sauti yake.
|
||
|
|
||
|
# kufanya yalio sahihi machoni pake
|
||
|
|
||
|
Maneno "machoni pake" hapa ya wakilisha kile Mungu alicho amini au kuamua.
|
||
|
|
||
|
# sitawaekea ninyi magonjwa
|
||
|
|
||
|
Mungu anaongea kusababisha watu kuwa na magonjwa kam kuweka magonjwa juu yao.
|