forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
424 B
Markdown
16 lines
424 B
Markdown
|
# Miriamu .. Aruni
|
||
|
|
||
|
Miriamu alikuwa dada wa kwanza wa Musa na Aruni.
|
||
|
|
||
|
# tari
|
||
|
|
||
|
Hichi ni chombo cha muziki kama ngoma ndogo yenye vipande vya chuma pembeni vinavyo toa sauti vikitikizwa
|
||
|
|
||
|
# ameshinda kwa utukufu
|
||
|
|
||
|
"ameshinda kwa utukufu juu ya maadui zake"
|
||
|
|
||
|
# Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini
|
||
|
|
||
|
Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na madereva kana kwamba Mungu aliwatupa baharini.
|