sw_tn/exo/15/14.md

12 lines
277 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# tetemeka
Hii ina maana kutikisika kwasababu una ogopa.
# hofu itawakumba wakazi wa Filistia
Musa anaongelea hofu kana kwamba ni mtu anaye weza kuchukuwa kwa nguvu mtu na kumfanya aogope sana.
# watayayuka
Musa anaongelea watu kuwa wadhaifu kutokana na hofu ya kuyayuka.