forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
788 B
Markdown
24 lines
788 B
Markdown
|
# Hiyo siku utasema kwa watoto wako, 'Hii ni kwasababu ya kile Yahweh alichofanya kwangu nilipo taka Misri.'
|
||
|
|
||
|
Nukuu yaweza kwa namna isiyo ya moja kwa moja.
|
||
|
|
||
|
# Hii itakuwa kumbukumbu mkononi mwako, na kumbukumbu kwenye paji la uso wako
|
||
|
|
||
|
Hii ni kumbukumbu mbili za mwilini ili watu wasisahau kitu muhimu.
|
||
|
|
||
|
# kumbukumbu mkononi mwako
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya.
|
||
|
|
||
|
# kumbukumbu kwenye paji la uso wako
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya.
|
||
|
|
||
|
# ili sheria ya Yahweh iwe kinywani mwako
|
||
|
|
||
|
Maneno "kinywani mwako" hapa ya husu maneno wanayo sema.
|
||
|
|
||
|
# mkono hodari
|
||
|
|
||
|
Neno "mkono hapa wa wakilisha matendo ya Mungu au kazi.
|