forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
505 B
Markdown
20 lines
505 B
Markdown
|
# Baada ya hivi vitu kutokea
|
||
|
|
||
|
Sio wazi muda gani ambao Musa na Aruni walisubiri mpaka walipo muuona Farao.
|
||
|
|
||
|
# sherehe kwa ajili yangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni sherehe ya kumuabudu Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# Yahweh ni nani?
|
||
|
|
||
|
Farao anatumia hili swali kuonyesha kuwa hamtambui Yahweh kama mungu halali.
|
||
|
|
||
|
# Kwanini mimi ... ach Israeli iende?
|
||
|
|
||
|
Farao anatumia hili swali kuonyesha kwamba anatamanio la kumtii Yahweh au kuwaacha Waisraeli waende kumuabudu Mungu.
|
||
|
|
||
|
# sikiliza sauti yako
|
||
|
|
||
|
Maneno "sauti yako" yana wakilisha Mungu aliyo ya sema.
|