forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
533 B
Markdown
24 lines
533 B
Markdown
|
# Sasa Farao alipo sikia kuhusu hili
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya tukio.
|
||
|
|
||
|
# Sasa kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaeleza watu wapya katika simulizi.
|
||
|
|
||
|
# chota maji
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana walichota maji kwenye kisima.
|
||
|
|
||
|
# birika
|
||
|
|
||
|
chombo kirefu cha wazi, chemba, kinacho wanacho tumia wanyama kulia au kunywea.
|
||
|
|
||
|
# kuwafukuza
|
||
|
|
||
|
"kuwakimbiza"
|
||
|
|
||
|
# akawasaidia
|
||
|
|
||
|
"akawaokoa"
|