forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
359 B
Markdown
12 lines
359 B
Markdown
|
# kama miili yao wenyewe
|
||
|
|
||
|
NI: "kama wapendavyo miili yao wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# badala yake anaurutubisha
|
||
|
|
||
|
"badala yake anautunza" au "yeye anaulinda"
|
||
|
|
||
|
# sisi tu viungo vya mwili wake
|
||
|
|
||
|
Inawezekana ikamaanisha 1) "sisi ni jumuiya ya mwili wake" au 2) waumini wanashikamana kuutengeneza mwili wa Kristo kama vile viungo vya mwili wa mwanadamu vinavyoshikamana kuunda mtu.
|