forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.1 KiB
Markdown
28 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# wapendeni wake zenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "pendo" linarejea pasipo ubinafsi, kutumika, au kutoa upendo.
|
||
|
|
||
|
# kujitoa mwenyewe kwaajili yake, kwamba unaweza kumfanya yeye mtakatifu kwasababu yeye alitusafisha sisi
|
||
|
|
||
|
Maneno "mwenyewe" na "yeye" yanarejea kwa Kristo. Maneno "yeye" na "sisi" yanarejea kwa Kanisa.
|
||
|
|
||
|
# kajitoa mwenyewe kwaajili yake
|
||
|
|
||
|
NI: "Kristo alitoa kila kitu kwaajili yake"
|
||
|
|
||
|
# yeye alitusafisha sisi kwa kutuosha kwa maji kupitia neno
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Paulo anarejea kuwa umekuwa ukisafishwa kwa neno la Mungu na kupitia ubatizo wa maji katika Kristo au 2) Paulo anasema Mungu alitufanya sisi wasafi kiroho kutoka katika dhambi zetu kwa neno la Mungu kama tunavyoifanya miili yetu safi kwa kuiosha kwa maji.
|
||
|
|
||
|
# kwamba yeye aweza kujiwasilishia mwenyewe kanisa
|
||
|
|
||
|
"kwamba anaweza kuwasilisha kwake mwenyewe kanisa"
|
||
|
|
||
|
# bila waa au kunyanzi
|
||
|
|
||
|
Paulo anasema kuhusu Kanisa kama vazi ambalo ni safi na liko katika hali nzuri. Anatumia wazo lile lile katika namna mbili kusisitiza utakatifu wa Kanisa.
|
||
|
|
||
|
# takatifu na bila makosa
|
||
|
|
||
|
Kauli "bila makosa" kimsingi inamaanisha kitu kile kile "mtakatifu." Paulo anatumia viwili pamoja kusisitiza utakatifu wa kanisa.
|