forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
799 B
Markdown
24 lines
799 B
Markdown
|
# Hapo kale ulikuwa giza
|
||
|
|
||
|
Kama tu mmoja hawezi kuona gizani, ndivyo watu wanaoishi katika dhambi wanapungukiwa ufahamu wa kiroho.
|
||
|
|
||
|
# Lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana
|
||
|
|
||
|
Kama tu mmoja anaweza kuona katika nuru, ndivyo watu ambao wanaishi katika haki wanaufahamu wa kiroho.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu tunda la haki ni uzuri wote, haki, na kweli
|
||
|
|
||
|
kazi zinazotoka kwenye maisha ya muumini (uzuri, haki, na kweli) zinafanana na tunda zuri linalozalishwa na mti wenye afya.
|
||
|
|
||
|
# hazina ushirikiano pamoja na kazi zisizozaa za giza
|
||
|
|
||
|
"Usijihusishe na kazi za dhambi au wasioamini"
|
||
|
|
||
|
# kazi zisizozaa za giza
|
||
|
|
||
|
kazi za mtu fulani anayeishi katika giza la kiroho zinafanana na matendo maovu ya watu wanaofanya kazi za uovu wamefichwa na giza usiku.
|
||
|
|
||
|
# lakini afadhali uwafichue
|
||
|
|
||
|
"lakini heri uwaweke wazi kuwa wanamakosa"
|