forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
778 B
Markdown
24 lines
778 B
Markdown
|
# Maelezo au Sentensi Unganishi.
|
||
|
|
||
|
Paulo anawaambia waamini wakiefeso kwamba watu wa mataifa walioamini wamefanyika wamoja na mitume na manabii, na ni hekalu kwa Mungu katika Roho Mtakatifu.
|
||
|
|
||
|
# amani iliyotangazwa
|
||
|
|
||
|
Tasfiri mbadala: "injili ya amani iliyotangazwa" au "injili ya amani iliyotangazwa kwa uwazi"
|
||
|
|
||
|
# ninyi mliokuwa mbali
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia juu ya watu wa mataifa au wale wasio Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# wale waliokuwa karibu
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia juu ya Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi sote wawili tuna nafasi.
|
||
|
|
||
|
Hapa "sisi sote wawili" inazungumzia juu ya Paulo, waamini wa Kiyahudi na waamini wasio Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# kwa yule Roho Mtakatifu
|
||
|
|
||
|
Waamini wote, yaani Wayahudi na watu wa mataifa, wamepewa haki ya kuingia mbele za uwepo wa Mungu Baba kwa Roho Mtakatifu yule yule.
|