forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
585 B
Markdown
24 lines
585 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Lawi, ambalo alianza kufanya katika 33:8.
|
||
|
|
||
|
# kubali
|
||
|
|
||
|
"kufurahishwa na" au "kufurahia kupokea"
|
||
|
|
||
|
# kazi ya mikono yake
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mikono" lina maana ya mtu mzima. "kazi yote ambayo anafanya"
|
||
|
|
||
|
# Vunja viuno vya
|
||
|
|
||
|
Viuno vilichukuliwa kiini cha nguvu. "Kuondoa nguvu ya" au "Kuangamiza kabisa"
|
||
|
|
||
|
# wanaoinuka ... wanaoinuka
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatumika mara mbili kama sitiari. "kuinuka kupigana ... kusababisha matatizo zaidi"
|
||
|
|
||
|
# wanaoinuka dhidi
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "kupigana dhidi"
|