forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
532 B
Markdown
16 lines
532 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# mimi, hata mimi
|
||
|
|
||
|
"Mimi, mimi" au "mimi mwenyewe". Yahwe anarudia "mimi" kusisitiza ya kuwa yeye pekee ndiye Mungu.
|
||
|
|
||
|
# ninainua mikono yangu mbinguni na kusema
|
||
|
|
||
|
"Ninainua mkono wangu mbinguni na kuapa" au "Nimetamka kiapo". Kwa kuinua juu mkono ni ishara ya kutoa kiapo.
|
||
|
|
||
|
# Niishivyo milele
|
||
|
|
||
|
"Niishivyo milele" au "Ninaapa kwa maisha yangu ambayo hayana mwisho". Kauli hii inawahakikishia watu ya kwamba kile asemacho Mungu katika 32:41-32-42 kitatokea.
|