forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
620 B
Markdown
28 lines
620 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# nitatangaza jina la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "kusema jinsi gani Yahwe ni mwema"
|
||
|
|
||
|
# kumpatia ukuu Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
"hakikisha watu wanajua ya kwamba Mungu wetu ni mkuu"
|
||
|
|
||
|
# Mwamba
|
||
|
|
||
|
Hii ni jina sahihi ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ni mwenye nguvu na anaweza kulinda watu wake.
|
||
|
|
||
|
# kazi yake
|
||
|
|
||
|
"kila kitu afanyacho"
|
||
|
|
||
|
# njia zake zote ni za haki
|
||
|
|
||
|
"anafanya kila kitu kwa njia ya haki"
|
||
|
|
||
|
# Yeye ni wa haki na mwadilifu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili kimsingi yana maana moja na yanasisitiza ya kwamba Yahwe ni mwenye haki na anafanya kilicho sahihi.
|