forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
492 B
Markdown
16 lines
492 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" ma "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
||
|
|
||
|
# hakutakuwa na pumziko chini ya miguu yako
|
||
|
|
||
|
Hapa kikundi cha maneno "chini ya miguu yako" urejea kwa mtu mzima.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe atakupatia huko moyo wa kutetemeka, macho yanayofeli na nafsi inayoomboleza.
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "Yahwe atakusababisha wewe kuogopa, pasipo tumaini, na huzuni"
|
||
|
|
||
|
# Maisha yako yataning'inia kwa mashaka mbele yako
|
||
|
|
||
|
"Hautajua kama utaishi au kufa"
|