forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
561 B
Markdown
16 lines
561 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
||
|
|
||
|
# ambayo yalioandikwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "ambayo nimeyaandika"
|
||
|
|
||
|
# hili tukufu na la kutisha jina, Yahwe Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" urejea kwa Yahwe mwenyewe. "Yahwe Mungu wako ni wa utukufu na wa kushangaza"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe atafanya mapigo yako kuwa ya kutisha, na yale ya wazao wako;
|
||
|
|
||
|
"Yahwe atatuma mapigo ya kutisha juu yako na uzao wako" au "Yahwe atahakikisha kwamba wewe na uzao wako utateseka kwa mapigo ya kutisha"
|